BARAZA LA MAKANISA NCHINI NCCK LAIONYA SERIKALI DHIDI YA KUWAKANDAMIZA VIONGOZI WA KIDINI.
Mauaji ya halaiki eneo la shakahola yasitumiwe na serekali kuyalenga makanisa na kupelekea kuundwa kwa sera zitakazo dhibiti maenoeo ya kuabudu humu nchini. Ni kauli ya mwenyekiti wa Baraza la kitaifa la makanisa humu nchini NCCK tawi la pwani Askofu Peter Mwero ambaye amesema kuwa ipo haja ya serikali kufanya uchunguzi wa kina na kumkabili […]



