ABABU ASHAURI KUBUNIWA KWA ‘ACADEMY’ KWENYE KILA TIMU MASHINANI
Waziri wa michezo hapa nchini Ababu Namwamba ametoa wito kwa viongozi wa mashirikisho ya soka katika ngazi tofauti tofauti hapa nchini kutoruhusu vilabu visiyokuwa na timu ya wachezaji wachanga maarufu kama ‘academy’ kushiriki ligi zao kama njia moja ya kuhamasisha umuhimu wa kukuza vipaji katika umri mdogo ambao baadaye watasaidiwa na serikali. Kama wizara ya […]
ABABU ASHAURI KUBUNIWA KWA ‘ACADEMY’ KWENYE KILA TIMU MASHINANI Read More »



