HABARI

RONALDO AINGIA KWENYE GUINNESS BOOK OF RECORDS

Mshambuliaji nguli wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo jana alizawadiwa cheti baada ya kuingia katika vitabu vya Guiness Book of Record kutokana na kucheza mechi nyingi zaidi akitumikia taifa lake. Kwa sasa Ronaldo ndiye mchezaji pekee aliyewahi kufikisha mechi 200 kutumikia taifa baada ya kuanza kusakatia Ureno soka mwaka 2003. Mreno huyo ambaye […]

RONALDO AINGIA KWENYE GUINNESS BOOK OF RECORDS Read More »

WADAU WA ELIMU WAHIMIZA MAKUZI YA TALANTA CHANGA

Naibu katibu mkuu wa Kuppet katika kaunti ya Kilifi  bwana Oppolo K’opollo amewahimiza wazazi kusaidia wanao kukuza talanta katika umri mchanga. Oppolo amesema kwamba katika cha michezo ya shule za msingi lakini pia za upili ndio kipindi ambacho talanta za vijana hugunduliwa na kuna urahisi wa mchezaji kuanza kujenga kipaji chake. Katibu huyo amewashauri wazazi

WADAU WA ELIMU WAHIMIZA MAKUZI YA TALANTA CHANGA Read More »