HABARI

NKUNKU ASAJILIWA NA CHELSEA, MANCHESTER UNITED NA PSG ZIKIMWINDA HARRY KANE

Klabu ya Chelsea hii leo imethibitisha kuwa Christopher Nkunku atakuwa mchezaji wao pale darajani Stanford Brigde baada ya kukamilisha usajili wake kutoka klabu ya RB Leipzig ya Ujerumani. Nkunku ametia saini mkataba wa miaka sita baada ya makubaliano ya uhamisho wa pauni milioni 52. Nkunku ameifungia mabao 16 waajiri wake wa zamani RB Leipzig pamoja […]

NKUNKU ASAJILIWA NA CHELSEA, MANCHESTER UNITED NA PSG ZIKIMWINDA HARRY KANE Read More »

TUTENGEZE ‘ACADEMY’ ZA MICHEZO SHULENI – GHOST MULEE

Mkufunzi wa zamani wa timu ya taifa ya Harambe Stars mwite Jacob Ghost Mulee amesistiza kwamba kuna umuhimu mkubwa wa shule za hapa nchini hasa katika shule za msingi kuanzisha mafunzo ya michezo mbalimbali ili makuzi ya talanta kuanza mapema. Amesema kwamba nyota nyingi za wachezaji waliokuwa na uwezo wa kupeperusha bendera ya Kenya katika

TUTENGEZE ‘ACADEMY’ ZA MICHEZO SHULENI – GHOST MULEE Read More »