ANCELOTTTI KUWA MKUFUNZI MPYA WA TIMU YA TAIFA YA BRAZIL
Mkufunzi wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti atakuwa mkufunzi mkuu wa timu ya taifa ya brazil kuanzia mwaka ujao. Hii ni kulingana na rais wa shirikisho la soka la brazil Ednaldo Rodriguez aliyesema kuwa wako mbioni kutafuta huduma za kimkataba na Ancelotti. Kwa sasa anayeongoza Samba Boys ambao ni mabingwa mara tano wa kombe […]
ANCELOTTTI KUWA MKUFUNZI MPYA WA TIMU YA TAIFA YA BRAZIL Read More »

