PETER MOLE YUPO SOKONI BAADA YA KUACHANA NA BEACH BAY
Mkufunzi wa klabu ya Beach bay Peter Mole amethibitisha kwamba ameachana rasmi na klabu hiyo inayoshiriki katika ligi ya daraja la pili kitaifa kutokana na kutoelewana baina ya uongozi wa klabu hiyo pamoja na mgawanyiko ulioko miongoni mwa wachezaji. Amesema kwamba kwa sasa yupo huru kuungana na klabu mpya na wiki hii amehusishwa katika kuiongoza […]
PETER MOLE YUPO SOKONI BAADA YA KUACHANA NA BEACH BAY Read More »



