HABARI

TUZO ZA MCHEZAJI BORA WA CAF KUFANYIKA USIKU WA LEO

Tuzo za mchezaji bora wa soka zinatarajiwa kufanyika usiku wa leo (Jumatatu) katika ukumbi wa Palais des Congrès in Marrakech, Morocco na kwa wakati mwengine zimevutia washindani wakali. Victor Osemhen mchezaji raia wa Nigeria pamoja na klabu ya Napoli kule Italia ambaye msimu jana aliisaidia klabu yake kushinda ubingwa wa taji hilo baada ya miaka

TUZO ZA MCHEZAJI BORA WA CAF KUFANYIKA USIKU WA LEO Read More »

NALENGA KUJIUNGA NA MSABAHA FC BAADA YA KUACHANA NA MOMBASA ELITE – TEMO SAMUEL

Fowadi wa klabu ya Mombasa Elite Temo Samuel ambaye kwa sasa yupo nyumbani baada ya kuachana na klabu hiyo ya Mombasa anasema analenga kujiunga na klabu ya Msabaha FC ambayo kwa sasa ipo katika kiligi ya mkoa kipindi hiki ambacho klabu hiyo inasubiri kucheza mashindano ya kufuzu kuingia ligi ya daraja la pili kitaifa. Kulingana

NALENGA KUJIUNGA NA MSABAHA FC BAADA YA KUACHANA NA MOMBASA ELITE – TEMO SAMUEL Read More »