HABARI

ONANA KUTOCHEZA MECHI MBILI NDANI YA MASAA 24 TOFAUTI NA TAARIFA!

Kipa nambari moja wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Cameroon Andree Onana anatarajiwa kukosa mechi ya kwanza ya Afcon wakati timu yake ya taifa itakuwa inacheza dhidi ya timu ya taifa ya Guinea. Onana atakosa mechi hiyo baada ya kukubali kucheza mechi ya ligi katika klabu ya Manchester United jana dhidi […]

ONANA KUTOCHEZA MECHI MBILI NDANI YA MASAA 24 TOFAUTI NA TAARIFA! Read More »

CHANGAMWE LADIES NA BANDARI YOUTH ZANG’AA MBARAKI

Fainali za kombe la Chapa Dimba na Safaricom zilichezwa jana katika kaunti ya Mombasa kwenye uwanja wa KPA Mbaraki na ni mashindano ambayo yalishuhudia Changamwe Ladies wakichukua ubingwa wa fainali hizo kwa upande wa kinadada baada ya kuwalaza Bulls Starlets kutoka kaunti ya Kilifi kichapo cha mabao 3-0. Kwa upande wa wanaume ni kuwa Bandari

CHANGAMWE LADIES NA BANDARI YOUTH ZANG’AA MBARAKI Read More »