TUME YA EACC YAONYWA DHIDI YA KUTUMIKA KISIASA NA SERIKALI.
Gavana wa kaunti ya Trans Nzoia, George Natembeya amemuonya mkurugenzi mkuu wa tume ya maadili na kukabiliana na ufisadi nchini EACC, Abdi Ahmed Mohamud dhidi ya kukubali kutumika kisiasa na serikali ya kitaifa. Kwa mujibu wa Natembeya tume hiyo inapaswa kutumia mamlaka yake katika kutekeleza haki na usawa dhidi ya wanasiasa wanao kamatwa na maafisa […]
TUME YA EACC YAONYWA DHIDI YA KUTUMIKA KISIASA NA SERIKALI. Read More »



