HABARI

UKOSEFU WA SODO WAATHIRI MASOMO KAUNTI YA TAITA TAVETA.

Kaunti ya Taita Taveta imejiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya hedhi duniani. Waziri wa jinsia katika kaunti hiyo Shedrak Mutungi amesema kuwa idadi kubwa ya wanafunzi katika kaunti hiyo, wameendelea kupitia changamoto ya ukosefu wa sodo katika siku zao za hedhi. Waziri Mutungi, ameelezea kuwa wanafunzi wengi wamekuwa wakikosa kuhudhuria masomo shuleni, kufuatia […]

UKOSEFU WA SODO WAATHIRI MASOMO KAUNTI YA TAITA TAVETA. Read More »

WIZARA YA AFYA YATISHIA KUTOA ORODHA YA HOSPITALI ZILIZO SHIRIKI UFISADI WA NHIF.

Waziri wa Afya Aden Duale ametoa onyo kali kwa vituo bandia vya afya, akisema kuwa hatasita kutoa orodha ya hospitali bandia, ambazo zilishiriki shughuli za ufisadi na iliyokuwa Hazina ya Kitaifa ya Afya (NHIF). Aidha, waziri huyo ameazimia kutekeleza msako dhidi ya matabibu bandia, akitoa wito kwa wadau wote wa sekta ya Afya, kuhudumu kwa

WIZARA YA AFYA YATISHIA KUTOA ORODHA YA HOSPITALI ZILIZO SHIRIKI UFISADI WA NHIF. Read More »

WANAWAKE KAUNTI YA MOMBASA WASISITIZWA KURIPOTI VISA VYA DHULMA DHIDI YAO.

Wanawake kaunti ya Mombasa wamewaonya dhidi ya kuvumilia dhulma wanazofanyiwa na waume zao kwenye ndoa. Kulingana na mwakilishi wa kike kaunti ya Mombasa Zamzam Mohamed, akina mama wanapaswa kujitokeza na kuripoti visa vya dhulma za kijinsia, vinavyo tekelezwa dhidi yao, ili hatua za kisheria zichukuliwe na wanahusika waadhibiwe. Akizungumza katika kaunti hiyo, mwakilishi huyo wa

WANAWAKE KAUNTI YA MOMBASA WASISITIZWA KURIPOTI VISA VYA DHULMA DHIDI YAO. Read More »