WAKAAZI WA KAUNTI YA HOMA BAYA WASISITIZWA KUUNGA MKONO SERIKALI YA MUUNGANO.
Rais William Ruto amewataka wakenya katika kaunti ya Homa Bay kuunga mkono na serikali yake, ili kushuhudia maendeleo katika eneo hilo. Akihutubia wananchi, Ruto amewaonya dhidi ya kukubaliana na kauli za wapinzani wake, wanao ongozwa na aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagwa. Rais amekashifu viongozi wa upinzani, akidai wamekuwa wakiendeleza fitina dhidi ya serikali yake, huku […]
WAKAAZI WA KAUNTI YA HOMA BAYA WASISITIZWA KUUNGA MKONO SERIKALI YA MUUNGANO. Read More »



