HABARI

SERIKALI YA KITAIFA YAAHIDI KUBORESHA BIMA MPYA YA AFYA SHA.

Serikali ya kitaifa imesema itaanzisha mpango wa wakenya wamapato ya chini, kumudu gharama ya malipo ya bima mpya ya afya SHA. Kulingana na rais William Ruto, mpango huo utasaidia pakubwa wakenya kupata huduma za afya, katika hospitali yeyote ndani ya taifa hili. Akizungumza katika kaunti ya Homa Bay, kwenye maadhimisho ya siku ya Madakaraka, kiongozi […]

SERIKALI YA KITAIFA YAAHIDI KUBORESHA BIMA MPYA YA AFYA SHA. Read More »

WALIMU 482 KAUNTI YA GARISSA WAKOSA KUPANDISHWA CHEO NA TUME YA KUAJIRI WALIMU NCHINI TSC.

Muungano wa walimu KNUT kaunti ya Garissa umekashifu vikali hatua ya tume ya kuajiri walimu nchini TSC, kubatilisha hatua ya kupandisha vyeo walimu 482. Katibu wa muungano huo kaunti hiyo Abdilrazak Hussein, amesema hatua hiyo imevunja moyo walimu katika kuendeleza kazi zao kaunti hiyo, ikizingatiwa kuwa wanakabiliwa na changamoto nyingi za kiusalama. Hussein amesema kuwa

WALIMU 482 KAUNTI YA GARISSA WAKOSA KUPANDISHWA CHEO NA TUME YA KUAJIRI WALIMU NCHINI TSC. Read More »

VIJANA WANAOSAKA AJIRA UGHAIBUNI WAONYWA DHIDI YA UTOVU WA MAADILI.

Waziri wa leba nchini  Alfred Mutua amewaonya vijana wanaopata nafasi za ajira mataifa ya nje, dhidi ya kujihusisha na visa vya utovu wa nidhamu, wanapokuwa kazini kule ughaibuni. Kulingana na waziri Mutua, huenda hatua hiyo, ikawasababisha kufutwa kazi na hata kufutiliwa mbali kwa kandarasi zao, sawia na kukabiliwa kisheria. Akizungumza katika kaunti ya Kwale, amesema

VIJANA WANAOSAKA AJIRA UGHAIBUNI WAONYWA DHIDI YA UTOVU WA MAADILI. Read More »