BARAZA LA MAGAVANA LAKISIA KUWEPO KWA WAFANYAKAZI HEWA KATIKA MPANGO WA UHC.
Huenda Kenya inapoteza mabilioni ya fedha kupitia mpango wa afya kwa wote wa UHC, kufuatia madai ya kuwepo wa maelfu ya wafanyakazi hewa wanaolipwa mishahara. Mwenyekiti wa kamati ya afya katika baraza la magavana Muthomi Njuki, anasema kuwa takribani wafanyakazi hewa elfu tatu, wamekuwa wakilipwa pasi na kufanyakazi. Njuki ambaye pia ni gavana wa kaunti […]
BARAZA LA MAGAVANA LAKISIA KUWEPO KWA WAFANYAKAZI HEWA KATIKA MPANGO WA UHC. Read More »



