HABARI

MUUNGANO WA UPINZANI WATANGULIZA KAMPENI ZAO ENEO LA UKAMBANI KABLA YA RAIS WILLIAM RUTO.

Viongozi wa mrengo wa upinzani nchini wameanza rasmi ziara yao katika eneo la Ukambani siku chache kabla ya rais William Ruto kuzuru eneo hilo. Wakiongozwa na kinara wa chama cha DCP, Geoffrey Gachagwa amemsuta rais William Ruto kwa kumtumia msaidizi wake Faruk Kibet kumkejeli kinara wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka. Akihutubia wananchi katika kaunti […]

MUUNGANO WA UPINZANI WATANGULIZA KAMPENI ZAO ENEO LA UKAMBANI KABLA YA RAIS WILLIAM RUTO. Read More »

WAZAZI WAONYWA DHIDI YA KUTOFUATILIA MIENENDO YA WANAO MJINI MALINDI KAUNTI YA KILIFI.

Idara ya usalama hapa mjini Malindi kaunti ya Kilifi imetishia kuwakamata wazazi wa watoto, waliojiunga na makundi ya kiuhalifu katika eneo bunge hili. Kamishna wa eneo hili David Lusava, amesema kuwa hatua ya watoto kujiunga na magenge hayo, huchangiwa na utepetevu wa mzazi katika malezi ya mwanawe. Lusava amesema kuwa idadi kubwa ya watoto walio

WAZAZI WAONYWA DHIDI YA KUTOFUATILIA MIENENDO YA WANAO MJINI MALINDI KAUNTI YA KILIFI. Read More »

KAUNTI YA KILIFI YAPIGA HATUA KATIKA VITA DHIDI YA DHULMA ZA KIJINSIA.

Wizira ya jinsia, vijana na michezo kaunti ya Kilifi, imeweka wazi kuwa idadi ya visa vya dhulma za kijinsia na mauaji ya wanawake vimeendelea kupungua, kutokana na mikakati ambayo imeendekezwa na wadau mbali mbali kaunti hii. Kulingana na waziri husika Daktari Ruth Masha, mojawapo ya mikakati ambayo serikali ya kaunti imetumia, kwa ushirikiano na mashirika

KAUNTI YA KILIFI YAPIGA HATUA KATIKA VITA DHIDI YA DHULMA ZA KIJINSIA. Read More »