RAIS WILLIAM RUTO APONGEZA USHAURI WA RAILA ODINGA KWA VIONGOZI WA SERIKALI KUU.
Rais William Ruto amesema serikali inajivunia mawazo yenye hekima, maono na maoni, yaliyotolewa na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga, wakati wa hotuba yake kwenye mkutano wa tatu wa kitaifa, wa Baraza la Mawaziri ulioandaliwa Karen, jijini Nairobi. Kupitia ukurasa wake wa X leo Ijumaa, Rais Ruto amesema, wito wa Raila kwa viongozi waangazie yaliyo mema, […]
RAIS WILLIAM RUTO APONGEZA USHAURI WA RAILA ODINGA KWA VIONGOZI WA SERIKALI KUU. Read More »



