HABARI

RAIS WILLIAM RUTO APONGEZA USHAURI WA RAILA ODINGA KWA VIONGOZI WA SERIKALI KUU.

Rais William Ruto amesema serikali inajivunia mawazo yenye hekima, maono na maoni, yaliyotolewa na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga, wakati wa hotuba yake kwenye mkutano wa tatu wa kitaifa, wa Baraza la Mawaziri ulioandaliwa Karen, jijini Nairobi. Kupitia ukurasa wake wa X leo Ijumaa, Rais Ruto amesema, wito wa Raila kwa viongozi waangazie yaliyo mema, […]

RAIS WILLIAM RUTO APONGEZA USHAURI WA RAILA ODINGA KWA VIONGOZI WA SERIKALI KUU. Read More »

SUKARI GHUSHI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MOJA YA NASWA KAUNTI YA KWALE.

Maafisa wa Ukusanyaji ushuru Nchini  (KRA) wamenasa lori, lililokuwa likisafirisha magunia 144 ya  sukari, kwa njia haramu, katika mpaka wa Lunga Lunga kaunti ya Kwale. Baada ya kupokea habari za kijasusi, maafisa wa forodha walisimamisha lori hilo lenye nambari za usajili za kigeni na kupata sukari ambayo haikuwa imekaguliwa. Lori hilo Lilipopekuliwa kwa kina, magunia

SUKARI GHUSHI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MOJA YA NASWA KAUNTI YA KWALE. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO AWATAKIA WAISLAMU SHEREHE NJEMA ZA EID-AL-ADHA.

Rais William Ruto ametuma ujumbe wa heri njema kwa jamii ya Waislamu hapa nchini, wanaposherehekea Siku Kuu ya Eid-ul-Adha leo Ijumaa. kupitia ukurasa wa X, Rais Ruto amewatakia sherehe za amani na furaha tele. Maadhimisho hayo yanadhihirisha kujitolea kwa mtume Ibrahim, kumtoa mwanawe wa kiume, kama kafara kwa Mungu, kabla ya Mungu kutoa kondoo kuchinjwa

RAIS WILLIAM RUTO AWATAKIA WAISLAMU SHEREHE NJEMA ZA EID-AL-ADHA. Read More »