HABARI

SERIKALI YA KAUNTI YA TAITA TAVETA YAANZISHA MIKAKATI YA KUKABILIANA DHULMA ZA KIJINSIA.

Kufuatia ongezeka la visa vya dhulma hasa kwa watoto na wanawake kaunti ya Taita Taveta, serikali ya kaunti hiyo imeandaa kongamano la kujadili mbinu za kukabili suala hilo mjini Voi. Gavana wa kaunti hiyo Andrew Mwadime, amesema kuwa visa vya dhulma za kijinsia hasa kwa wanawake na watoto kaunti ya Taita Taveta, vimeendelea kukithiri kila […]

SERIKALI YA KAUNTI YA TAITA TAVETA YAANZISHA MIKAKATI YA KUKABILIANA DHULMA ZA KIJINSIA. Read More »

WIZARA YA AFYA YAIMARISHA UTENDAKAZI WAKE KWA KUSAMBAZA MGAO WA FEDHA KWA HOSPITALI ZA KIBINAFSI.

Jumla ya taasisi 7,446 za afya kitaifa, zimepokea mgao wa jumla ya shilingi bilioni 51.3, kutoka kwa serikali ya kitaifa kupitia mpango wa mamlaka ya SHA, ili wakenya wanufauike na bima ya afya SHIF. Kulingana na waziri wa afya nchini Aden Duale, hatua hiyo itasaidia pakubwa katika kuboresha huduma za afya kwa wakenya, ambao wamesajiliwa

WIZARA YA AFYA YAIMARISHA UTENDAKAZI WAKE KWA KUSAMBAZA MGAO WA FEDHA KWA HOSPITALI ZA KIBINAFSI. Read More »

RIGATHI GACHAGWA AZIDISHA SHUTMA ZAKE DHIDI YA SERIKALI YA KITAIFA.

Kinara wa chama cha DCP, Geoffrey Rigathi Gachagwa, amesema mojawapo ya sababu zake kuondolewa kwenye nafasi ya naibu wa rais katika taifa hili, ni kutetea haki za wananchi wa kaunti ya Meru. Akizungumza katika kaunti ya Meru, siku moja kabla ya rais William Ruto kufanya mkutano katika kaunti hiyo, Gachagwa amedai kuwa kulikuwa na njama,

RIGATHI GACHAGWA AZIDISHA SHUTMA ZAKE DHIDI YA SERIKALI YA KITAIFA. Read More »