JAMII KAUNTI YA TANA RIVER YAHANGAISHWA NA NDOVU.
Idara ya KWS tawi la kuanti ya Tana River, imeelezea kuwepo kwa ongezeko la ndovu wanao hangaisha jamii katika maeneo ya Garseni na Tana Delta. Afisa mkuu wa idara hiyo kaunti ya Tana River, George Bakari amesema kuwa hatua hiyo imechangiwa na mvua kubwa inayoendelea kunya katika maeneo hayo. Akizungumza na wanahabari, Bakari amesema kuwa […]
JAMII KAUNTI YA TANA RIVER YAHANGAISHWA NA NDOVU. Read More »



