HABARI

KATIBU WA CHAMA CHA JUBILEE JEREMIAH KIONI APINGA PENDEKEZO LA MAZUNGUMZO YA KITAIFA.

Chama cha Jubilee kimejiunga na viongozi wengine nchini katika mrengo wa upinzani, kupinga pendekezo la kuwepo kwa mazungumzo ya kitaifa, ili kutatua changamoto za vijana wa kizazi cha Gen Z. Katibu mkuu wa chama hicho Jeremiah Kioni, amesema kuwa wakenya hawana haja ya mazungumzo, kwani tayari wanafahamu matatizo yao, ambayo yamekuwa yakizungumzwa kwenye kila kikao […]

KATIBU WA CHAMA CHA JUBILEE JEREMIAH KIONI APINGA PENDEKEZO LA MAZUNGUMZO YA KITAIFA. Read More »

IEBC YATAKIWA KUWAKABILI WANASIASA WANAOPANGA KUHARIBU MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2027.

Chama cha DCP kimeitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, kuwachukulia hatua kali za kisheria, wanasiasa wanaoendeleza semi za kuwa na mipango ya kushiriki wizi wa kura za urais mwaka 2027. Naibu kinara wa chama hicho Cleophas Malala, amesema kuwa watawasilisha ombi kwa tume hiyo, kuhusiana na suala la kukabili kisheria wanasiasa hao.

IEBC YATAKIWA KUWAKABILI WANASIASA WANAOPANGA KUHARIBU MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2027. Read More »