HABARI

KVA KUANDAA LIGI YA VOLIBOLI MASHINANI

Shirikisho la mpira wa wavu katika kaunti ya Kilifi linalenga kufanya mashindano ya siku mbili wikendi ijayo, mashindano yanayohusisha vilabu mbalimbali vya kaunti hii kwa leo la kuimarisha voliboli ya mashinani. Kulingana na mwenyekiti mpya wa voliboli Kilifi Jimmy Ngala ni kuwa kwa sasa mashindano hayo ya Challenge Cup hayajapata mfadhili hivyo kulazimu, vilabu kujisimamia […]

KVA KUANDAA LIGI YA VOLIBOLI MASHINANI Read More »