HARAMBEE STARS YAWASILI NCHINI LICHA YA KUCHELEWA
Timu ya taifa ya Kenya imerejea nchini usiku wa manane leo kutokana na kuchelewa kwa kusafiri wao baada ya kushuhudiwa mgomo katika uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta. Harambe stars ilikuwa Africa kusini ambako ilisajili ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Namibia, mechi ambayo ni ya kutafuta tikiti ya kufuzu kwa AFCON 2025 Kenya itakuwa […]
HARAMBEE STARS YAWASILI NCHINI LICHA YA KUCHELEWA Read More »



