GRAHAM POTTER KUANZA KIBARUA KIPYA NA CHELSEA USIKU WA LEO
Mkufunzi mpya wa klabu ya Chelsea Graham Potter anatarajiwa kuanza jukumu lake la kwanza na klabu yake mpya darajani Stamford Bridge jioni ya leo wakati ambapo the Blues watakuwa wanavaana na RB Salzberg katika mechi ya pili ya hatua ya makundi. Chelsea ilimfuta kazi mkufunzi wao Tomas Tuchel baada ya kichapo cha aibu cha bao […]
GRAHAM POTTER KUANZA KIBARUA KIPYA NA CHELSEA USIKU WA LEO Read More »



