PAUL BITOK ANAIMANI MALKIA STRIKERS WATAFANYA VYEMA KWENYE MASHINDANO YA DUNIA
Mkufunzi mkuu wa Malkia Strikers Paul Bitok anaimani kwamba wanadada hao watafanya vyema katika mashindano ya dunia ya mpira wa wavu yanayotarajiwa kufanyika tarehe 23 mwezi huu hadi 15 mwezi October katika taifa la Uholanzi pamoja na Poland. Bitok amesema kwamba mazoezi ya miezi miwili waliyopiga kambi katika taifa la Brazil yamewasaidia kuimarika zaidi na […]
PAUL BITOK ANAIMANI MALKIA STRIKERS WATAFANYA VYEMA KWENYE MASHINDANO YA DUNIA Read More »



