Kitaifa

MALKIA STRIKERS WACHAPWA KWENYE MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA RED STARS

Timu ya taifa ya mpira wa wavu  Malkia strikers ambao wako nchini Serbia kwa sasa wanaposubiri kuekea nchini Uholanzi kwa mashindano ya kombe la dunia, wamepoteza mechi yao ya kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Serbia  Red Stars kwa seti tatu bila jawabu. Kenya imeratibiwa kuvaana na timu ya taifa ya Uholanzi kwenye mechi […]

MALKIA STRIKERS WACHAPWA KWENYE MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA RED STARS Read More »

SOKA LA KENYA KUSUBIRIWA KWA MUDA WA ZIADA – BARRY OTIENO

Mkurugenzi mkuuu wa shirikisho la soka FKF Barry Otieno amesema kwamba huenda wapenzi wa soka la FKF hasa ‘Premier League’ ya wanaume lakini pia ya kinadada wakalazimika kusubiri kwa muda zaidi kuanza kwa msimu mpya wa ligi kuu. Kamati ya mpito inayosimamia soka nchini ilikuwa imeratibu ligi za wanaume pamoja na wanadada kuanza tarehe 24

SOKA LA KENYA KUSUBIRIWA KWA MUDA WA ZIADA – BARRY OTIENO Read More »