MALKIA STRIKERS WACHAPWA KWENYE MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA RED STARS
Timu ya taifa ya mpira wa wavu Malkia strikers ambao wako nchini Serbia kwa sasa wanaposubiri kuekea nchini Uholanzi kwa mashindano ya kombe la dunia, wamepoteza mechi yao ya kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Serbia Red Stars kwa seti tatu bila jawabu. Kenya imeratibiwa kuvaana na timu ya taifa ya Uholanzi kwenye mechi […]
MALKIA STRIKERS WACHAPWA KWENYE MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA RED STARS Read More »



