KENYA SHUJAA YATWAA UBINGWA DUBAI
Kenya Shujaa kikosi cha raga ya wachezaji saba kila upande ndio mabingwa wa mashindano ya msururu wa kombe la Dubai Challeger yalotamatika jana baada ya kuichapa Chile kichapo cha alama 12-5. Ni fainali ambayo ilimshuhudia Patrick Odongo akifunga try mbili ambazo sasa zinawafanya vijana wa Kelvin Wambua kumaliza mashindano hayo katika nafasi ya kwanza. Wakatihayo […]
KENYA SHUJAA YATWAA UBINGWA DUBAI Read More »



