KENYA ITACHEZA AFCON 2025 – ABABU
Waziri wa michezo Ababu Namwamba anasema ako na matumaini makubwa kwamba Kenya itashiriki mashindano ya Afcon mwaka 2025 baada ya mashindano ya mwaka huu Kenya kukosekana kutokana na kukosa kushiriki mashindano ya kufuvu baada ya kufungiwa na fifa. Hata Hivyo ababu amewapongeza majirani Tanzania kwa kufunzu kwa mashindano ya mwaka huu akisema kuwa ni juhudi […]
KENYA ITACHEZA AFCON 2025 – ABABU Read More »



