Kitaifa

TUNALENGA KUSAJILI WACHEZAJI – YOUNG BULLS

Mwenyekiti wa klabu ya Young Bulls klabu inayoshiriki katika ligi ya daraja la kwanza kitaifa kutoka Malindi kaunti ya Kilifi  mhandisi Jonson Mwabati  amesema kwamba katika dirisha la uhamisho litakalofunguliwa rasmi wiki ijayo Bulls wanalenga kusajili wachezaji wanane wapya ili kuipa kasi klabu hiyo. Mwambati hata hivyo amekiri kuwa Young Bulls kwa asilimia flani imekuwa […]

TUNALENGA KUSAJILI WACHEZAJI – YOUNG BULLS Read More »

MICHEZO YAENDELEA VIZURI KENYA – ABABU NAMWAMBA

Waziri wa michezo hapa nchini Kenya Ababu Namwamba amesema kuwa  anaimani mwaka huu utakuwa na ufanisi mkubwa katika michezo sawa na ilivyokuwa mwaka jana ambapo mashindano pamoja na wachezaji waliwakilisha na kushinda matuzo mbalimbali. Amesema kwa kipindi cha mwaka jana pekee serikali iliwekeza milioni 900 katika michezo tofauti ya miaka ya nyuma ambapo michezo ilikuwa

MICHEZO YAENDELEA VIZURI KENYA – ABABU NAMWAMBA Read More »

MCHEZO WA TONG IL MOO- DOO IMEPIGA HATUA NCHINI – MWAKIO

Rais wa mchezo wa Tong IL Moo – Doo nchini Clarence Mwakio amesema kwamba mchezo huo umeanza kupiga hatua katika umaarufu wako katika taifa hili la Kenya. Ametoa wito kwa vijana wengi kujisajili kwa mchezo huo huku akithibitisha kuwa tayari Tong ill Moo – Doo imefika katika kaunti  14 kufikia sasa huku akiwa anapania kuimarisha

MCHEZO WA TONG IL MOO- DOO IMEPIGA HATUA NCHINI – MWAKIO Read More »