TUNALENGA KUSAJILI WACHEZAJI – YOUNG BULLS
Mwenyekiti wa klabu ya Young Bulls klabu inayoshiriki katika ligi ya daraja la kwanza kitaifa kutoka Malindi kaunti ya Kilifi mhandisi Jonson Mwabati amesema kwamba katika dirisha la uhamisho litakalofunguliwa rasmi wiki ijayo Bulls wanalenga kusajili wachezaji wanane wapya ili kuipa kasi klabu hiyo. Mwambati hata hivyo amekiri kuwa Young Bulls kwa asilimia flani imekuwa […]
TUNALENGA KUSAJILI WACHEZAJI – YOUNG BULLS Read More »



