Kitaifa

FKF MALINDI YAJIPANGA

Shirikihso la soka katika eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi linajiandaa vilivyo kwa mashindano ya msimu mpya wa mwaka 2024/2025 katika ligi ya FKF ya eneo bunge hilo. Tofauti na misimu iliyopita shirikisho limetoa taarifa kuwa kwenye suala la uhamisho wa wachezaji kutoka klabu moja hadi nyingine ni sharti taratibu zote zihusishe ofisi ya

FKF MALINDI YAJIPANGA Read More »