ENGIN FIRAT ANA HOFU!
Mkufunzi mkuu wa timu ya taifa ya Harambee Stars Engin Firat ana mashaka kuwa Kenya itakuwa tayari kuandaa mechi zijazo za kufuzu kwa Kombe la Dunia hapa nyumbani mwezi Juni, dhidi ya Burundi na mabingwa wa Afrika Ivory Coast. Kocha huyo akizungumza masaa machache kablaya Harambee Stars kuanza safari yao ya Malawi anasema kukosekana kwa […]
ENGIN FIRAT ANA HOFU! Read More »



