EMERGING STARS YA KENYA KUANZA NA ZAMBIA LEO
Timu ya taifa ya Kenya ya soka ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 23 Emerging Stars wanatarajiwa Kushuka dimbani jioni ya leo katika mechi yao ya kwanza ya mashindano ya COSAFA. Mashindano hayo yanayoendelea Africa Kusini yalianza rasmi jana na yanaiweka Kenya katika chungu B kinachojumuisha Zambia, Comoros na Zimbabwe. Emerging stars wanacheza mechi yao […]
EMERGING STARS YA KENYA KUANZA NA ZAMBIA LEO Read More »



