MALINDI HIGH IKO TAYARI KWA MASHINDANO YA KITAIFA
Timu ya shule ya upili ya Malindi High inatarajia kuwa na kibarua kigumu kuanzia hapo kesho watakapokuwa wanaanza Kushuka dimbani katika kampeni yao ya kuwania taji la raga za wachezaji saba kila upande kwenye mashindano ya shule za upili huko Kisii. Kennedy Kirinywa ambaye anaiongoza timu hiyo anasema analenga kuandikisha matokeo bora makala ya mwaka […]
MALINDI HIGH IKO TAYARI KWA MASHINDANO YA KITAIFA Read More »



