Kitaifa

WAZIRI MTEULE MURKOMEN ASHAURIWA

Waziri mteule katika wizara ya Michezo na talanta nchini Kipchumba Murkomen ametakiwa kuhakikisha kuwa anaimarisha shughuli za michezo katika taifa hili. Kulingana na mwenyekiti wa muungano wa mchezo ya kandanda kaunti ya Mombasa Goshi Juma Ali, kuimarika kwa michezo kutasaidia pakubwa vijana kupata mapato bora na kujiepusha na mambo maovu kwenye jamii. Akizungumza na mwanahabari

WAZIRI MTEULE MURKOMEN ASHAURIWA Read More »