MAGARINI YAJIPIGIA UPATU DOLA SUPER CUP
Mkufunzi wa timu ya soka ya Magarini kaunti ya kilifi bwana Suleiman Bahero anasema kikosi chake kiko imara kuvaana na mpinzani yeyote katika mashindano yanayoendelea ya Dola Super Cup. Akizungumza na Tama la spoti kupitia njiaya simu Bahero anasema uteuzi wa kikosi bora ndio umemfanya kuzidi kupata matokeo mazuri kwenye kipute hicho kufukia sasa na […]
MAGARINI YAJIPIGIA UPATU DOLA SUPER CUP Read More »



