Kitaifa

MURKOMEN ASEMA UONGOZI WA MICHEZO NDIO UMEFELI WAKENYA

Aliyekuwa waziri wa barabara na uchukuzi nchini Kenya Kipchumba Murkomen anasema analenga kuhakikisha kuwa soka la Kenya litapata mwelekeo utakaofurahisha wakenya iwapo atakubaliwa kuwa waziri wa michezo na vijana baada ya kusailiwa bungeni. Ameyasema hayo wikendi hii katika mahojiano na kamati ya bunge iliyokuwa inaongozwa na spika Moses Wetangula. Anasema FKF ya sasa inayosimamiwa na

MURKOMEN ASEMA UONGOZI WA MICHEZO NDIO UMEFELI WAKENYA Read More »