KAUNTI YA KWALE IMESAJILI IDADI NDOGO YA WANAFUNZI AMBAO WANAJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA
Mkurugenzi wa elimu kanda ya pwani Luka Kangogo amesema kaunti ya Kwale ni miongoni mwa kaunti za pwani ambazo hazijaafikia asilimia 100 ya watoto ambao wanapaswa kujiunga na kidato cha kwanza na wale wa Sekondari msingi. Akizungumza katika kaunti ya Kwale Kangogo amesema wazara ya elimu imeanzisha harakati za kuhakikisha wanafunzi wote katika viwango hivyo […]
KAUNTI YA KWALE IMESAJILI IDADI NDOGO YA WANAFUNZI AMBAO WANAJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA Read More »



