RUTO AMEAHIDI MIZOZO YA ARDHI KUTATULIWA KAUNTI YA LAMU
Rais William Samoei Ruto ameahidi kulishughulikia suala tata la ardhi katika kaunti ya Lamu ili kudhibiti mizozo inayotokana na umiliki ardhi kwenye kaunti ya Lamu. Akizungumza jana katika uwanja wa muungano eneo la Mpeketoni kaunti ya Lamu Rais Ruto amesema atafanikisha ahadi ambazo alitoa wakati wa kampeni za uchaguzi kuhusu suala tata la ardhi kwenye […]
RUTO AMEAHIDI MIZOZO YA ARDHI KUTATULIWA KAUNTI YA LAMU Read More »



