Kaunti

ZAIDI YA WANAFUNZI MIA NANE WADI YA GANDA WAMENUFAIKA NA FEDHA ZA BASARI KUTOKA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI.

Zaidi ya wanafunzi mia nane katika wadi ya Ganda eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi, wamenufaika na kima cha shilingi milioni 4.85, fedha za basari kutoka kwa serikali ya kaunti ya Kilifi. Kulingana na mwakilishi wadi hiyo Oscar Wanje, ni kuwa wanafunzi hao ni pamoja na wale wa shule za upili, vyuo vikuu pamoja […]

ZAIDI YA WANAFUNZI MIA NANE WADI YA GANDA WAMENUFAIKA NA FEDHA ZA BASARI KUTOKA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI. Read More »

WITO UMETOLEWA KWA HAKI NA USAWA KUTEKELEZWA KATIKA ZOEZI LA KUWAFIDIA WAVUVI KAUNTI YA LAMU.

Gavana wa kaunti ya Lamu Abdalah Issa Timamy, amesema kuwa sharti shughuli za kuwalipa fidia wavuvi katika kaunti ya Lamu litekelezwe kwa haki na uwazi. Gavana huyo amesema wanafahamu kuwa wapo baadhi ya watu ambao sio wavuvi na tayari wameorodheshwa kupokea fedha hizo kutoka kwa serikali jambo ambalo amesema sio sahihi. Akizungumza na wakaazi wa

WITO UMETOLEWA KWA HAKI NA USAWA KUTEKELEZWA KATIKA ZOEZI LA KUWAFIDIA WAVUVI KAUNTI YA LAMU. Read More »

WAVUVI WATARAJIWA KUNUFAIKA NA VIFAA VYA KUTEKELEZA UVUVI KUPITIA VYAMA VYA USHIRIKA.

Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamaad Shariff Nassir amesema kuwa serikali ya kaunti hiyo, imeanza mikakati ya kuwakabili matapeli wanaoendeleza unyakuzi wa ardhi za umma kaunti hiyo. Kwa mujibu wa gavana huyo ni kuwa wameanza harakati za kutafuta hatimiliki halali za ardhi hizo, ili kutekeleza miradi mbali mbali ikiwemo ujenzi wa soko ambalo, huenda likawasaidia

WAVUVI WATARAJIWA KUNUFAIKA NA VIFAA VYA KUTEKELEZA UVUVI KUPITIA VYAMA VYA USHIRIKA. Read More »