Kaunti

VIONGOZI WA MICHEZO MASHINANI WALALAMA TAARIFA HAZIWAFIKII

Wito umetolewa kwa viongozi wa michezo nchini kuingia mashinani kutazama na kutambua talanta za wachezaji kama njia moja ya kutimiza lengo kuu la ugatuzi kwa kuangazia wachezaji walio mashinani zaidi. Jambo hilo litasaidia kutoa hamasa zaidi kuhusu mradi wa serikali wa talanta hela pamoja ambapo vijana wengi wenye vipaji watatambulika. Akizungumza na Tama La Spoti […]

VIONGOZI WA MICHEZO MASHINANI WALALAMA TAARIFA HAZIWAFIKII Read More »

SHEKHUNA ABBAS ASEMA KUNA HAJA YA KUWA NA MUDA MAALUMU WA MABOTI NA PIKIPIKI KUHUDUMU KISIWANI LAMU

Mwakilishi wa wadi ya Mkomani kaunti ya Lamu Shekhuna Abbas amesema kuna haja ya kuwa na muda maalumu wa maboti na pikipiki kuhudumu nyakati za usiku kisiwani Amu kwa sababu za kiusalama. Abbas amesema iwapo Maboti na pikipiki hizo zitapigwa marufuku kuhudumu nyakati za usiku itakuwa bora zaidi ili kudhibiti visa ya ukosefu wa usalama

SHEKHUNA ABBAS ASEMA KUNA HAJA YA KUWA NA MUDA MAALUMU WA MABOTI NA PIKIPIKI KUHUDUMU KISIWANI LAMU Read More »

KESI 67 ZA MAAFISA WA POLISI KUWADHULUMU WAKENYA ZIMENAKILIWA KANDA YA PWANI

Mkurugenzi wa mamlaka ya kutathmini utendakazi wa polisi nchini IPOA kabda ya pwani Hussein Aden amethibitisha kupokea jumla ya kesi 467 kote nchini za malalamishi kutoka kwa wakenya yanayohusiana na maafisa wa polisi tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2023. Kulingana na Hussein kati ya kesi hizo, kesi 67 zimenakiliwa kanda ya pwani na kuwataka

KESI 67 ZA MAAFISA WA POLISI KUWADHULUMU WAKENYA ZIMENAKILIWA KANDA YA PWANI Read More »