Kaunti

NAIBU WA RAIS ASEMA ATAWATAJA WALIOPORA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 24

Naibu wa rais Rigathi Gachagua sasa anasema atawataja watu anaosema walipora zaidi ya shilingi bilioni 24, miezi mitatu kabla ya mwisho wa utawala wa rais mstaafu Uhuru Kenyatta. Gachagua aliyezungumza eneo la Roysambu jijini Nairobi alidai kuwa hali ngumu ya kiuchumi inashuhudiwa sasa nchini inatokana na uporaji huo, anaodai ulifanyika na baadhi ya mawaziri na […]

NAIBU WA RAIS ASEMA ATAWATAJA WALIOPORA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 24 Read More »

FRED MATIANG’I ATARAJIWA KUFIKA KATIKA AFISI ZA DCI

Aliyekuwa waziri wa usalama wa ndani, Dkt. Fred Matiangi sasa anatarajiwa kufika katika ofisi za idara ya DCI, kuandikisha taarifa kuhusiana na yaliyojiri mwezi Februari tarehe 8 ambapo kuibuliwa madai kuwa maafisa wa polisi walivamia nyumbani kwake swala lililopingwa na mkuu wa idara ya upelelezi Mohamed Amin. Hii ni baada ya Matiangi kuwasili nchini baada

FRED MATIANG’I ATARAJIWA KUFIKA KATIKA AFISI ZA DCI Read More »

JAMII KAUNTI YA KILIFI YATAKIWA KUKABILI VISA VYA DULUMA ZA KIJAMII

Jamii kaunti ya Kilifi na eneo la Pwani kwa jumla imetakiwa kutokubali dhumula za aina yoyote katika jamii na badala yake kusisitiza suala la haki na usawa kwa kila mwananchi. Haya ni kwa mujibu wa afisa wa shirika la AIDS SERVICES KENYA, Betty Mwacheda ambaye amesema wananchi wanapaswa kuhakikisha wanafahamu haki zao kikatiba na kuwashtaki

JAMII KAUNTI YA KILIFI YATAKIWA KUKABILI VISA VYA DULUMA ZA KIJAMII Read More »