LIGI YA ENEO BUNGE LA MALINDI YAANZA RASMI
Ligi ya eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi kwenye msimu mpya wa 2022/2023 ilianza rasmi wikendi hii na mechi vijana wa Goshi katika uwanja wao wa nyumbani walishushiwa kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Real Malindi. Mabao mawili ya Omara Bahola katika dakika ya 30 na ya tisa mtawalia ndiyo yaliyotosha kuwapa ushindi wa […]
LIGI YA ENEO BUNGE LA MALINDI YAANZA RASMI Read More »



