Kaunti

UONGOZI WA KAUNTI YA TAITA TAVETA WALAUMIWA

Makundi ya wachimba madini wadogowadogo eneo la Kishushe kaunti ya Taita Taveta wameushutumu uongozi wa kaunti hiyo kwa kile walichosema kuwa uongozi husika umekataa kuwawakea sahihi katika stakabadhi zao ili waweze kuchimba madini. Wamesema kuwa kwa muda mrefu sasa wamekosa kunufaika kupitia raslimali ya madini katika eneo hilo kutokana na sababu zisizokuwa na msingi. Wachimba […]

UONGOZI WA KAUNTI YA TAITA TAVETA WALAUMIWA Read More »

HISIA MBALIMBALI ZAENDELEA KUTOLEWA NA VIONGOZI WA KIDINI MJINI MALINDI KUHUSU MAANDAMANO

Baadhi ya viongozi wa kidini mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamepinga maandamano ambayo muungano wa Azimio la Umoja One Kenya unapania kuandaa siku ya Jumatatu wiki ijayo, ili kupinga uongozi wa rais William Samoei Ruto. Wakiongozwa na Askofu wa kanisa la JCC Malindi kaunti ya Kilifi Thomas Tsuma Kakhala, ametoa wito kwa viongozi hao kutafuta

HISIA MBALIMBALI ZAENDELEA KUTOLEWA NA VIONGOZI WA KIDINI MJINI MALINDI KUHUSU MAANDAMANO Read More »

GAVANA ANDREW MWADIME AWEKA MIKAKATI KUWAKABILI WAFANYIKAZI HEWA TAITA TAVETA

Serikali ya kaunti ya Taita Taveta inaendelea kufanya ukaguzi kwa madereva wanaofanya kazi katika kaunti hiyo kwa minajili ya kujua idadi yao kamili jambo litakalowezesha serikali hiyo kuwatambua wafanyikazi hewa. Akizungumza kabla ya kuanzishwa kwa ukaguzi huo ambao haukufanyika tu kwa madereva lakini pia idadi kamili ya magari yanayomilikiwa na kaunti, gavana wa Taita Taveta

GAVANA ANDREW MWADIME AWEKA MIKAKATI KUWAKABILI WAFANYIKAZI HEWA TAITA TAVETA Read More »