MUUNGANO WA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI WAMTAKA RAIS RUTO KUFANYA MASHAURIANO NA RAILA ODINGA
Muungano wa maaskofu wa kanisa katoliki sasa unamtaka Rais William Ruto na Kiongozi wa Azimio Raila Odinga kufanya mashauriano na kuzima tofauti za kisiasa humu nchini. Askofu Philip Anyolu ambaye ni askofu mkuu wa jimbo la Nairobi anasema kuwa joto la kisiasa lililopo nchini linahatarisha amani na kuibua taharuki katika maeneo mengi nchini. Wakati huo […]



