Kaunti

MACHUNGAJI LEONARD KOTSE ATOA WITO KWA MUUNGANO WA KENYA KWANZA KUSITISHA MAANDAMANO

Mchungaji wa kanisa la Adonai kaunti ya Mombasa Leonard Kotse, ametoa wito kwa viongozi wa azimio kusitisha maandamano yao na badala yake watafute njia mbadala ya kuiwajibisha serikali. Katika mazungumzo ya kipekee na Meza yetu ya habari kwa njia ya Simu, Mchungaji Kotse amesema ni vyema iwapo maandamano hayo, yatasitishwa na mikakati kuwekwa namna masuala […]

MACHUNGAJI LEONARD KOTSE ATOA WITO KWA MUUNGANO WA KENYA KWANZA KUSITISHA MAANDAMANO Read More »

SENETA MOHAMED FAKI AWATAKA WAKENYA KUJITOKEZA KWA WINGI KWENYE MAANDAMANO YA LEO

Seneta wa kaunti ya Mombasa Mohamed Faki amewahimiza wakenya kujitokeza kwa wingi hii leo kwenye maandamano yanayoongozwa na azimio la umoja one Kenya kuishinikiza serikali kuu kuwajibikia changamoto zinazowakabili wananchi. Faki amesema hali ya kupanda kwa gharama ya maisha, kunaendelea kuwaathiri Wakenya wengi na ni lazima serikali kuu iwajibishwe ili kuwanusuru. Akizungumza akiwa kwenye kaunti

SENETA MOHAMED FAKI AWATAKA WAKENYA KUJITOKEZA KWA WINGI KWENYE MAANDAMANO YA LEO Read More »

FIKIRINI JACOBS ATEULIWA NA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI

Kiongozi wa vijana katika chama cha ODM kaunti ya Kilifi, Fikirini Jacobs ameteuliwa na serikali ya kaunti ya Kilifi, katika nafasi ya mkurugenzi wa kitengo cha kuangazia utekelezwaji wa miradi ya serikali ya kaunti hii ya Kilifi. Akizungumza wakati uteuzi huo gavana wa kaunti ya Kilifi, Gideon Maitha Mung’aro amesema kuwa bado wataendeleza uteuzi wa

FIKIRINI JACOBS ATEULIWA NA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI Read More »