AMINA MNYAZI AWATAKA WAKENYA KUENDELEA KUPINGA UHALALISHAJI WA MAPENZI YA WATU WA JINSIA MOJA
Mbuge wa Malindi kauntI ya Kilifi Amina Mnyazi amesema anapinga mapenzi ya watu wa jinsia moja nchini. Akizungumza bungeni alipokuwa akichangia muswada ambao ulikuwa umewasilishwa bungeni kupinga uhalalishaji wa Ushoga na Usagaji nchini, Mnyazi amesema mila na tamaduni za kiafrika, dini na katiba ya nchi haziruhusu Mapenzi ya jinsia Moja na ni suala ambalo linapaswa […]



