KAUNTI YA KILIFI KUREKEBISHA VIWANJA
Serikali ya kaunti ya kilifi inayoongozwa na gavana Gedion Maitha Mungaro inalenga kuanza urekebishaji wa viwanja vilivyoko mashinani mwa kaunti hiyo kama njia moja ya kuvipa hadhi ili kuruhusu wachezaji kuandaa mechi kwa ubora zaidi. Kulingana na taarifa iliyochapishwa katika mitandao rasmi ya serikali ya kaunti ni kuwa Ujenzi wa uwanja wa kisasa utasubiri kwa […]
KAUNTI YA KILIFI KUREKEBISHA VIWANJA Read More »



