Kaunti

KOMBE LA GAVANA LIMEZAA KIKOSI CHA KYISA!

Mashindano ya Governors Cup katika kaunti ya Kilifi ndio mashindano ambayo yamesaidia pakubwa upatikanaji wa kikosi kitakachowakilisha Kilifi katika mashindano ya KYISA mwaka huu, mashindano ambayo yalizinduliwa jana na yameanza rasmi hii leo. Kulingana na kocha wa kikosi cha wavulana Rio Ngumao ni kuwa mashindano ya Governors Cup ambayo fainali zake zilipigwa jana katika uwanja […]

KOMBE LA GAVANA LIMEZAA KIKOSI CHA KYISA! Read More »

VILABU VYOTE VICHEZE MAGARINI, FKF MAGARINI YASEMA

Katibu wa shirikisho la soka la eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi Emmanuel Kazungu amethibitisha kuwa vilabu vyote vya magarini ambavyo kwa miaka ya nyuma vimekuwa vikishiriki katika ligi ya eneo bunge la Malindi sasa ni sharti vitashiriki ligi ya Magarini huku usajili ukiwa unaendelea. Kulingana na Emmanuel ni kuwa vilabu vinavyolengwa hasa ni

VILABU VYOTE VICHEZE MAGARINI, FKF MAGARINI YASEMA Read More »