Kaunti

MIAKA NDIO CHANGAMOTO YA KUPATA WACHEZAJI MALINDI

Umri ndio kimekuwa kikwazo kikubwa cha upatikanaji wa talanta za kinadada kwenye mchezo wa basket ball katika mji wa Malindi kaunti ya kilifi inapojiandaa kwa mashindano ya KYISA mwaka huu. Kulingana na afisa wa michezo katika eneo hilo Melda Mnyazi ni kuwa sheria zilizowekwa za kutafutia wachezaji ndio zilizofungia baadhi ya wachezaji wa kike nje,

MIAKA NDIO CHANGAMOTO YA KUPATA WACHEZAJI MALINDI Read More »

FAINALI ZA GOVERNORS CUP KUPIGWA MWEZI APRILI

Serikali ya kaunti ya Kilifi inapanga kuanzisha mashindano ya michezo mbali mbali mwaka ujao, katika mashindano ya Governors Cup yaliyoanzishwa mwaka jana chini ya gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro Mipango hii inapanga kujumuisha riadha na michezo ya ufukweni, baada ya fainali ya soka ya governors cup kukamilika tarehe 14 mwezi ujao Mashindano

FAINALI ZA GOVERNORS CUP KUPIGWA MWEZI APRILI Read More »