GAVANA ACHANI AWATAKA WENYEJI KUTOKUBALI KUGAWANYWA
Gavana wa Kwale Fatuma Achani amewahimiza wakazi wa Kaunti hiyo kutokubali kugawanywa Kwa misingi ya kikabila na dini. Akizungumza katika Wadi ya Vanga huko lunga lunga alipoongoza ufunguzi wa shule ya chekechea ya Umba, Achani amesema wakati wa siasa ulipita, hivyo ni wakati sasa wa wakaazi kuungana sawia na viongozi wao ili kuhakikisha miradi ya […]
GAVANA ACHANI AWATAKA WENYEJI KUTOKUBALI KUGAWANYWA Read More »



