Kaunti

KENAFF YAITAKA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI KUJENGA BWAWA LA KUHIFADHI MAJI

Shirikisho la kitaifa la wakulima nchini (KENAFF) limeitaka serikali ya kaunti ya Kilifi kujenga bwawa la kuhifadhi maji ya mto sabaki, ili yaweze kutumika katika kilimo. Mwenyekiti wa shirikisho hilo kaunti ya Kilifi Getrude Bahati, anadai maji ya mto huo ni raslimali muhimu inayoweza kutumika kufanikisha kilimo wakati wa ukame iwapo yatahifadhiwa. Bahati aidha amedokeza […]

KENAFF YAITAKA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI KUJENGA BWAWA LA KUHIFADHI MAJI Read More »

WABUNGE KAUNTI YA TAITA TAVETA WAWEKA MIKAKATI YA KUWASILISHA MISUADA KATIKA BUNGE LA KITAIFA.

Wabunge wa Kaunti ya Taita taveta sasa wanajiandaa kuwasilisha miswaada bungeni itakayosaidia wakazi wa kaunti hiyo kunufaika kutokana na raslimali ya mbuga ya kitaifa ya wanyamapori ya Tsavo kufuatia utata unaoshuhudiwa kwa sasa. Wakiongozwa na mbunge wa Taveta John bwire, Wanasema wakaazi wameathiriwa pakubwa na wanyamapori wala hakuna fidia wanayopewa na shirika la huduma kwa

WABUNGE KAUNTI YA TAITA TAVETA WAWEKA MIKAKATI YA KUWASILISHA MISUADA KATIKA BUNGE LA KITAIFA. Read More »

UTUMIZI WA DAWA ZA KULEVYA KUPITIA SINDANO WAWAWEKA VIJANA KATIKA HATARI YA KUPATA UKIMWI.

Asilimia 18.7 ya vijana wanaotumia dawa za kulevya kwa kujidunga sindano, wametajwa kuwa katika hatari kubwa ya kuambukizwa virusi vya Ukimwi kaunti ya Kwale. Haya ni kwa mujibu wa mkurugenzi wa shirika la kijamii la kukabiliana na utumizi wa mihadarati kaunti ya KWALE, la Teenswatch Ahmed Mohammed anayetaka hamasa zaidi kutolewa kwa vijana ili kuzuia

UTUMIZI WA DAWA ZA KULEVYA KUPITIA SINDANO WAWAWEKA VIJANA KATIKA HATARI YA KUPATA UKIMWI. Read More »