Kaunti

WAZAZI KAUNTI YA LAMU WADAIWA KUTELEKEZA JUKUMU LAO LA ULEZI.

Afisa wa kurekebisha tabia za watoto kwenye mahakama ya Mpeketoni kaunti ya Lamu Dhashrifa Mohammed, amesema wazazi wengi wametelekeza majukumu yao ya ulezi. Hii ni baada ya kukithiri kwa visa vya utovu wa nidhamu miongoni mwa watoto wenye umri mdogo, hali inayotajwa kusababishwa na malezi duni kutoka kwa wazazi wa watoto hao. Dhashrifa amewataka wazazi […]

WAZAZI KAUNTI YA LAMU WADAIWA KUTELEKEZA JUKUMU LAO LA ULEZI. Read More »

UTUMIZI WA MIHADARATI AINA YA HEROIN KAUNTI YA MOMBASA WADAIWA KUKITHIRI.

Zaidi ya watu elfu nane wakiwemo watoto wenye umri wa miaka 10 kaunti ya Mombasa, wanadaiwa kuwa watumizi wa dawa ya kulevya aina ya Heroin. Takwimu hizo ni kwa mujibu wa Shirika la kukabiliana na dawa za kulevya na pombe haramu nchini NACADA, ambalo limesema kuwa kaunti ya Mombasa ni mojawapo ya kaunti ambazo, zinaongoza

UTUMIZI WA MIHADARATI AINA YA HEROIN KAUNTI YA MOMBASA WADAIWA KUKITHIRI. Read More »

SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA YA WEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA MARADHI YA EBOLA.

Idara ya afya kaunti ya Mombasa imewahakikishia wananchi wa kaunti hiyo kuwepo kwa mikakati, ya kukabiliana na maambukizi wa maradhi ya Ebola ambayo yameanza kuripotiwa, katika baadhi ya mataifa ya Afrika Mashariki. Kulingana na afisa mkuu wa afya kaunti ya Mombasa Pauline Oginga, ni kuwa idara hiyo kwa ushirikiano na mashirika mengine ya kijamii katika

SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA YA WEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA MARADHI YA EBOLA. Read More »