HUENDA MIZOZO YA ARDHI IKAPATA SULUHU ENEO LA SHIMONI
Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani ameahidi kushughulikia suala la mizozo ya ardhi kwa kutoa hati miliki za ardhi kwa Maskuota eneo la Shimoni. Amesema serikali ya kaunti hiyo itashirikiana na ile ya kitaifa ili wenyeji wapate suluhu la kudumu kwa kulitatua. Aidha, zaidi ya familia 1,000 eneo hilo zinaishi kwa hofu na kusema […]
HUENDA MIZOZO YA ARDHI IKAPATA SULUHU ENEO LA SHIMONI Read More »



