WANAHARAKATI TAITA TAVETA WASEMA WENYEJI HAWAFAHAMU MIPAKA YA MASHAMBA YAO
Wanaharakati wa masuala ya ardhi kaunti ya Taita Taveta wanasema kuna haja ya kutumia ardhi nchini ili kutoa ramani mbalimbali za ardhi kwenye kaunti hiyo ili wenyeji waweze kufahamu mipaka yao halisi. Wakiongozwa na Chris Mwambingu wanasema licha kuwa wenyeji wamekuwa wakikabidhiwa hati miliki zao, wengi wao hawajui mahali kwenye ardhi hizo ziko kwa madai […]
WANAHARAKATI TAITA TAVETA WASEMA WENYEJI HAWAFAHAMU MIPAKA YA MASHAMBA YAO Read More »



